Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwezeshaji Vijana, Jinsia, Wanawake na Watoto ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Bw. Ally Hamis akonyesha nyaraka za vibali na sahihi za Wakuu wa Mikoa alipopita Kijana mzalendo Bw.Abiudi Denis aliyetembea nchini nzima kwa Siku 65 kwa lengo la kuhamasisha uzalendo ikwemo kupinga Muundo wa Serikali Tatu, Kumpongeza Rais Jakaya Kikwete na Kupinga watu wanaombeza Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Nyerere leo mjini Tabora wakati alipokea Bendera ya Taifa kutoka kwa kijana huyo kwenye Viwanja vya Maonyesho ya Wiki ya Vijana.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akitembelea mabanda wakati wa Maonyesho ya Wiki ya Vijana yanayoendelea katika Viwanja vya Ali Hassan Mwinyi, mkoani Tabora.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwezeshaji Vijana, Jinsia,
Wanawake na Watoto ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Bw. Ally Hamis (katikati) akiwa
katika picha ya pamoja na Kijana mzalendo Bw. Abiud Denis (mwenye
bendera) aliyetembe nchini nzima kwa Siku 65 kwa lengo la kuhamasisha uzalendo
ikwemo kupinga Muundo wa Serikali Tatu, Kumpongeza Rais Jakaya Kikwete na
Kupinga watu wanaombeza Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Nyerere leo mjini
Tabora wakati alipokea Bendera ya Taifa kutoka kwa kijana huyo kwenye Viwanja
vya Maonyesho ya Wiki ya Vijana. (Picha zote na Frank Shija, WHVUM)
No comments:
Post a Comment