TANGAZO


Wednesday, August 20, 2014

Montage, SOS wazindua Kampeni ya kuchangia yatima wanaoishi katika mazingira magumu

Mkurugenzi wa Taifa wa vituo vya kulelea yatima vya SOS Children's Villages Tanzania, Anatoli Rugaimukamu, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya kuchangisha kiasi cha sh. bilioni 1.2 kwa ajili ya kusaidia huduma mbalimbali kwa yatima na watoto wanaoishi katika mazingira magumu kwa ushirikiano na Kampuni ya Montage. Katikati ni Mkurugenzi wa Motage, Teddy Mapunda na kushoto ni Mkurugenzi wa SOS kituo cha Dar es Salaam, Angolwisye Mwollo-Ntallima. (Picha zote na Kassim Mbarouk-www.bayana.blogspot.com)
Mkurugenzi wa Motage, Teddy Mapunda, akizungumza katika uzinduzi wa kampeni hiyo, ya kuchangia yatima pamoja na watoto wanaoishi katika mazingira magumu nchini, kiasi cha sh. bil. 1.2 za Tanzania. Katikati ni Mkurugenzi wa Taifa wa vituo vya kulelea yatima vya SOS Children's Villages Tanzania, Anatoli Rugaimukamu na kulia ni Jane Lyayuka wa Quality Assuarance.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Motage, Teddy Mapunda, akizungumza katika hafla ya uzinduzi huo. Katikati ni Mkurugenzi wa SOS, kituo cha Dar es Salaam, Angolwisye Mwollo-Ntallima na kushoto ni Wilson Musoke kutoka Push Mobile.
Mkurugenzi wa Taifa wa vituo vya kulelea yatima vya SOS Children's Villages Tanzania, Anatoli Rugaimukamu, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya kuchangisha kiasi cha sh. bilioni 1.2 kwa ajili ya kusaidia huduma mbalimbali kwa yatima na watoto wanaoishi katika mazingira magumu kwa ushirikiano na Kampuni ya Montage. Wapili kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Motage, Teddy Mapunda, Mkurugenzi wa SOS kituo cha Dar es Salaam, Angolwisye Mwollo-Ntallima (wapili kushoto) na Wilson Musoke wa Push Mobile.
Mkurugenzi wa Taifa wa vituo vya kulelea yatima vya SOS Children's Villages Tanzania, Anatoli Rugaimukamu, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya kuchangisha kiasi cha sh. bilioni 1.2 kwa ajili ya kusaidia huduma mbalimbali kwa yatima na watoto wanaoishi katika mazingira magumu kwa ushirikiano na Kampuni ya Montage.
Baadhi ya waandishi wa habari, wakichukua habari zilizokuwa zikitolewa katika hafla hiyo na viongozi wa SOS na Kampuni ya Montage.
Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Montage na SOS, pamoja na wageni waalikwa wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa kampeni hiyo, Hoteli ya Serena jijini, Dar es Salaam leo.
Baadhi ya waandishi wa habari, wakichukua habari zilizokuwa zikitolewa katika hafla hiyo na viongozi wa SOS na Montage.
Waandishi wa habari, wakiwa kazini wakichukua habari zilizokuwa zikitolewa katika hafla hiyo na viongozi wa SOS na Montage jijini leo.
Mkurugenzi wa Taifa wa vituo vya kulelea yatima vya SOS Children's Villages Tanzania, Anatoli Rugaimukamu (katikati), akizungumza katika hafla hiyo.
Mkurugenziwa Motage, Teddy Mapunda, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari, wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo, ya kuchangia yatima pamoja na watoto wanaoishi katika mazingira magumu nchini, kiasi cha sh. bil. 1.2 za Tanzania.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Motage, Teddy Mapunda, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari, wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo, ya kuchangia yatima pamoja na watoto wanaoishi katika mazingira magumu nchini, kiasi cha sh. bil. 1.2 za Tanzania.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Motage, Teddy Mapunda, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari, wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo, ya kuchangia yatima pamoja na watoto wanaoishi katika mazingira magumu nchini.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Motage, Teddy Mapunda (katikati), akifafanua jambo kwa waandishi wa habari, wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo.
Wilson Musoke wa Push Mobile, akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo, ya kuchangia yatima na watoto wanaoishi katika mazingira magumu nchini sh. bil. 1.2 za Tanzania.
Mwakilishi wa Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam, Seraphin Lusala (kushoto), ambao ni moja wa wadhamini katika kampeni hiyo, akizungumza katika hafla hiyo, jijini leo.
Mkurugenzi wa Taifa wa vituo vya kulelea yatima vya SOS Children's Villages Tanzania, Anatoli Rugaimukamu, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari, wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo.
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari, wakiwa kazini, wakichukua habari zilizokuwa zikitolewa katika hafla hiyo na viongozi wa SOS na Kampuni ya Montage jijini leo.
Waandishi wa habari, wakiwa katika hafla ya uzinduzi huo, hotelini hapo leo.
Jane Lyayuka (kulia) wa Quality Assuarance, akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi huo, jijini leo.


SOS CHILDREN’S VILLAGES TANZANIA IN PARTNERSHIP WITH MONTAGE LIMITED LAUNCHTHE FUNDRAISING CAMPAIGN INTENDING TO RAISE 1.2 BILLION TANZANIA SHILLINGS FOR ORPHANS AND CHILDREN WITHOUT PARENTAL CARE.                                            
SOS Children’s Villages Tanzania in collaboration with Montage Tanzania, are aiming to raise funds to support the well-being of children without parental care and those at risk of losing parental care. The goal of the fundraising effort is to raise 1.2 Billion Tanzania Shillings.
The theme of the campaign is “Care for me! Your contribution can achieve a Solution” in order to reach as many children as possible who are in need of shelter, health and educational needs.
Speaking at the Press Conference today SOS National Director MrAnatoliRugaimukamu said, the fundraising activities will be held in 4 placeswhere SOS Children’s Villages Runs its programs in Tanzania, namely Zanzibar, Arusha, Mwanza and Dar Es Salaam. Our mission here is to build families for children in need, help them shape their own future and take part in the development of their communities….he added…
In order tofulfill our mission and provide services to the children in need, we rely on the generosity of individuals and businesses for support. Even though SOS Children’s Villages has been dependent on Sponsors from abroad, the organization believes that there is a dire need to start building this very culture among Tanzanians where people are touched and moved to support children in need and develop behavior of giving back to the community!!!
Ms Teddy Mapunda, Managing Director Montage said, Montage Limited is very privileged to partner with SOS Children’s Villages this year, and we are looking forward to acquire support from all the community around us, individual,corporate world, Government institutions, Private institutions, Donors, Community etc.
In October we shall have 2 fundraising events one in Zanzibar and the other one in Arusha. You can send your contributions via Bank Account number 001-4009337, Barclays Bank, Ohio Branch or email info@montagetz.com, national.office@sos-tanzania.org.

In order to extend our interventions to reach more children in need we call upon your generous support to raise 1.2 Billion Tanzania Shillings.

This event has been sponsored by Clouds Media Group, ITV/Radio One, Mwananchi Communications Ltd, Serena Hotels, Delfina Promotions Limited, Zenji FM, Cocacola, Push Mobile and Coastal Aviation

About SOS Children’s Villages
SOS children’s Village Tanzania is a non-profit Tanzanian organization working to build families for children in needand helping them to shape their own futures and share in the development of their own communities. The organization was established in Tanzania since 1991, to respond to the wider range of children living without the care of the parents. Affiliated with SOS Children Village international, SOS children’s Villages Tanzania is an autonomous organizations with an independent board of trustees.
Currently SOS CV is caring for over 500 children in its three villages in Arusha, Zanzibar and Dar es Salaam and over 3000 children in the same regions through its family strengthening program, within the youth program SOS Children’s villages is supporting a number of youth to realize their potentials; over 50 youth are undertaking university studies abroad and in the country while a number of many other youth are doing variety of courses in colleges.
Over 100 children raised and supported by SOS CV from infancy stage are now independent productive young adults engaged in different fields such as teaching, accountancy, ICT, Hotel, carpentry and few are in government agencies like TRA.

Press Contact Person: Teddy Mapunda, Email: teddy@montagetz.com, 0784747666

No comments:

Post a Comment