
Wachezaji wa timu ya Zamalek ya Misri, wakifanya
mazoezi ya mwisho leo, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, kabla ya kupambana na Yanga
katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. (Picha na Dotto Mwaibale)

Kocha wa Zamalek, Hassan Shehata, akiwa na wachezaji wa timu hiyo, wakifanya mazoezi, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kwa ajili ya kuapambana na timu ya Yanga kwenye Uwanja huo kesho.

Wachezaji wa Zamalek ya Misri, wakifanya mazoezi yao ya mwisho Uwanja wa Taifa, kabla ya kesho kupambana na Yanga kwenye Uwanja huo, jijini Dar es Salaam.

Wachezaji wa Zamalek, wakifanya mazoezi ya kukimbia

Wachezaji wa Zamalek, wakiweka goli dogo kwa ajili ya kufanyia mazoezi yao, Uwanja wa Taifa, leo jioni kabla ya kesho kupambana na Yanga katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
No comments:
Post a Comment