TANGAZO


Thursday, March 17, 2016

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jnsia, Wazee na Watoto Dk. Mpoki Ulisubisya azindua Mpango kazi wa Taifa wa Dawa, vifaa tiba, vitendanishi kwa miaka mitano (2015-2015)

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya akizungumza  wakati wa uzinduzi wa Mpango kazi wa Taifa wa Dawa vifaa Tiba na vitendanishi kwa miaka mitano (2015-2015) leo jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi mkutano wa  Mpango kazi wa Taifa wa Dawa vifaa Tiba na vitendanishi kwa miaka mitano (2015-2015) leo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mfamasia Mkuu wa Serikali Henry Irundo na kulia ni Mganga Mkuu wa Serikali Muhamad Kambi.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi mkutano wa  Mpango kazi wa Taifa wa Dawa vifaa Tiba na vitendanishi kwa miaka mitano (2015-2015) leo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mfamasia Mkuu wa Serikali Henry Irundo na kulia ni Mganga Mkuu wa Serikali Muhamad Kambi.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya (katikati) akionyesha taarifa ya  Mpango kazi wa Taifa wa Dawa vifaa Tiba na vitendanishi kwa miaka mitano (2015-2015) baada ya uzinduzi   leo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mfamasia Mkuu wa Serikali Henry Irundo na kulia ni Mganga Mkuu wa Serikali Muhamad Kambi.

Wajumbe waliohudhuria uzinduzi  wa  Mpango kazi wa Taifa wa Dawa vifaa Tiba na vitendanishi kwa miaka mitano (2015-2015) leo jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa mkutano wa taarifa ya  Mpango kazi wa Taifa wa Dawa vifaa Tiba na vitendanishi kwa miaka mitano (2015-2015) leo jijini Dar es Salaam. (Picha zote na Lorietha Laurence-Maelezo)

No comments:

Post a Comment