Wahudumu wa matibabu wakimshughulikia mwathiriwa wa ebola
Mamlaka nchini Guinea imesema kuwa imewachunguza mamia ya watu ambao huenda wameambukizwa ugonjwa wa ebola baada ya mripuko mpya kuwaacha watu wanne wakiwa wamefariki kusini mashariki mwa taifa hilo.
Amesema kwamba watawekwa katika karantini kwa wiki tatu.
Ebola Guinea
Mataifa yote matatu yameshuhudiwa visa vichache vya ugonjwa huo tangu udhibitiwe.

No comments:
Post a Comment