TANGAZO


Wednesday, December 31, 2014

Rais Dk. Shein atoa salamu za mwaka mpya

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akitoa salamu za mwaka mpya wa 2015 kwa  wananchi wa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla  na kuwatakia mwaka wenye Amani na Utulivu pia mafanikio makubwa ikiwemo ya Uchumi wa Taifa letu, Ikulu Mjini Zaznzibar leo. (Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment