TANGAZO


Wednesday, October 30, 2013

Makamu wa Rais Dk. Gharib Bilal afungua kongamano la kujadili mtandao wa maji kwa wananchi wanachama wanachama wa SADC lililoandaliwa na UDSM

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akifungua rasmi kongamano la kujadili Mtandao wa maji kwa nchi wanachama wa SADC, lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), leo jijini Dar es Salaam. (Picha zote na OMR)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akifungua kongamano la kujadili mtandao wa maji kwa nchi wanachama wa SADC, lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), leo jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa 'Local Organizing Commitee', Profesa,  Mtalo Felix, akizungumza wakati wa ufunguzi wa kongamano hilo.
Baadhi ya washiriki wa kongamano hilo, wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, wakati akisoma hotuba yake ya ufunguzi.
Baadhi ya washiriki wa kongamano hilo, wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, wakati akisoma hotuba yake ya ufunguzi.
Baadhi ya washiriki wa kongamano hilo, wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, wakati akisoma hotuba yake ya ufunguzi.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa kongamano hilo, baada ya kulifungua rasmi leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Bashir Mrindoko, wakati akiondoka baada ya picha ya pamoja na kufungua kongamano la kujadili mtandao wa maji kwa nchi wanachama wa SADC, lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), leo jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Mkutano huo, Profesa Mtalo Felix, wakati akiondoka baada ya picha ya pamoja na kufungua kongamano la kujadili Mtandao wa maji kwa nchi wanachama wa SADC, lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), leo jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment