TANGAZO


Monday, October 28, 2013

Jamal Malinzi aukwaa Urais wa TFF, Wallace Karia, Makamu wa Rais

      

Leodger Tenga, Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini, aliyemaliza muda wake, akimpongeza Jamal Malinzi, Rais Mpya wa Shirikisho hilo,  mara  baada ya kushinda. Hapa siyo kwamba walikuwa wanalia bali walikuwa wakipongezana mara baada ya kazi kubwa ya kusaka ushindi huo.

No comments:

Post a Comment