Mbunge wa Ulanga Magharibi, Dk. Haji Mponda (kulia), akijadiliana jambo na Katibu wa NEC-CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye wakati wa ziara ya kikazi ya kuimarisha chama, Jimbo la Ualnga Magharibi leo.
Nape akihutubia mkutano wa ndani wa chama hicho, leo katika Kata ya Mtimbila, Ulanga Magharibi.
Kinana akivishwa skafu baada ya kupokelewa katika Kata ya Minepa alipowasili kuhamasisha uhai wa chama katika Jimbo la Ulanga Mashariki leo.
Baadhi ya wafuasi wa CCM, wakishangilia wakati Katibu wa NEC-CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihutubiamkutano wa ndani katika Kata ya Mtimbila, Jmbo la Ulanga Magharibi. |
Nape Nnauye, akivuka kwa kutumia mtumbwi. |
No comments:
Post a Comment