TANGAZO


Monday, April 15, 2013

Rais Dk. Shein azungumza na uongozi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Ikulu mjini Zanzibar


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Mapinduzi, Dk. Ali 

Mohamed Shein, akizungumza na uongozi wa Wizara  ya Mifugo 

na Uvuvi, kuhusu utekelezaji wa kazi za wizara hiyo, kwenye 

ukumbi wa mikutano wa Ikulu, mjini Zanzibar leo jioni. Kushoto ni 

Makamo wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Shariff Hamadi. (Picha 

na Ramadhan zote na Othman Ikulu)


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Mapinduzi, Dk. Ali 

Mohamed Shein (katikati), akizungumza na uongozi wa Wizara  ya 

Mifugo na Uvuvi, kuhusu utekelezaji wa kazi za wizara hiyo, 

kwenye ukumbi wa mikutano wa Ikulu, mjini Zanzibar leo jioni.

No comments:

Post a Comment