TANGAZO


Monday, January 28, 2013

Waziri Mukangara atembelea Shirika la Magazeti ya Serikali (TSN), Dar es Salaam

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara, akizungumza na Menejimeti ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) leo, jijini Dar es Salaam ,alipowatembelea ili kujionea shughuli mbalimbali zinazoendeshwa na Shirika la Magazeti ya Serikali. Wengini ni Mwenyekiti wa Bodi ya TSN Profesa Moses Warioba (katikati) na Kulia ni Kaimu Mhariri Mtendaji wa TSN, Gabriel Nderumaki.
Kaimu Mhariri Mteandaji wa Shirika la Magazeti ya Serikali(TSN), Gabriel Nderumaki akitoa maelezo mafupi jijini Dar es Salaam leo kwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara (kushoto), alipowatembelea ili kujionea shughuli mbalimbali zinazoendeshwa na Shirika la Magazeti ya Serikali. Katikati ni Mwenyekiti wa Bodi ya TSN, Profesa Moses Warioba.
Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la  Magazeti ya Serikali (TSN), Profesa Moses Warioba (katikati), akitoa maelezo mafupi leo, jijini Dar es Salaam kwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara (kushoto), alipowatembelea ili kujionea shughuli mbalimbali zinazoendeshwa na Shirika la Magazeti ya Serikali. Kulia ni Kaimu Mhariri Mtendaji wa TSN, Gabriel Nderumaki.
 
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara (kushoto), akibadilishana mawazo na baadhi ya viongozi wa Tanzania Standard Newspapers (TSN), leo jijini Dar es Salaam, alipowatembelea ili kujionea shughuli mbalimbali zinazoendeshwa na Shirika la Magazeti ya Serikali. Wengini ni Mwenyekiti wa Bodi ya TSN, Profesa Moses Warioba (wa pili kulia), Kaimu Mhariri Mtendaji wa TSN, Gabriel Nderumaki (wa pili kushoto) na kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene.
 
Kaimu Mhariri Mtendaji wa Shirika la Magazeti la Serikali (TSN), Gabriel Nderumaki (wa pili kulia) akisisitiza jambo kwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara (kushoto), leo jijini Dar es Salaam, alipowatembelea ili kujionea shughuli mbalimbali zinazoendeshwa na Shirika la Magazeti ya Serikali. Wengini ni Mwenyekiti wa Bodi ya TSN, Profesa Moses Warioba (wa pili kushoto) na Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene.
 
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara (kushoto), akizungumza na Menejimeti Tanzania Standard Newspapers (TSN), leo jijini Dar es Salaam alipowatembelea ili kujionea shughuli mbalimbali zinazoendeshwa na Shirika la Magazeti ya Serikali. Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya TSN, Profesa Moses Warioba.
 
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara akijionesha jinsi kurasa za magazeti ya Shirika
la Magazeti ya Serikali (TSN), zinavyosanifiwa na wasanifu leo, jijini Dar es Salaam, alipowatembelea ili kujionea shughuli mbalimbali zinazoendeshwa na Shirika la Magazeti ya Serikali.
Kaimu Mhariri Mtendaji wa Shirika la Magazeti ya Serikali (TSN), Gabriel Nderumaki akitoa maelezo kwa Waziri wa
Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara(katikati), jinsi wanavyohariri habari mbalimbali leo, jijini Dar es Salaam alipowatembelea ili kujionea shughuli mbalimbali zinazoendeshwa na Shirika la Magazeti ya Serikali.
   
Meneja Uchapishaji wa Shirika la Magazeti la Serikali(TSN) John Mcharo (kushoto) akitoa maelezo kwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara (wa pili kushoto), jinsi wanachapisha magazeti leo jijini Dar es Salaam alipowatembelea ili kujionea shughuli mbalimbali zinazoendeshwa na Shirika la Magazeti ya Serikali. Wengine ni  Mwenyekiti wa Bodi ya TSN, Profesa Moses Warioba (wa tatu kushoto), Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Magazeti ya Serikali(TSN), Gabriel Nderumaki (wa pili kulia)  na Mkurugenzi wa
Idara ya Habari (kulia), Assah Mwambene. (Picha zote na Maelezo - Dar es Salaam) 

No comments:

Post a Comment