Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Sazi Salula akizungumza na Mkurugenzi wa Baraza la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Eng. Benventure Baya na Mkurugenzi wa Mazingira, Ofisi ya Makmu wa Rais, Dk. Julias Ningu na Ofisa Mwandamizi, Timotheo Mande mara baada ya kutembelea uchimbaji wa madini aina ya Bauxite, yanayochimbwa kwenye kijiji cha Marieni, Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro leo.
|
No comments:
Post a Comment