TANGAZO


Wednesday, July 11, 2012

Wahariri waandaliwa mafunzo ya sensa mjini Dodoma

 Afisa Uhamasishaji wa Sensa kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Said Ameir akitoa utambulisho wa wahariri na waandishi wa habari waandamizi wakati wa ufunguzi wa semina ya siku tatu kwa wahariri na waandishi waandamizi kuhusu sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012. Sensa inatarajiwa kufanyika usiku wa kuamkia tarehe 26  mwezi Okotba nchini kote. Uzinduzi huo umefanyika katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Chuo cha Mipango mjini Dodoma leo.



Naibu Waziri wa Habari, Vijana , Utamaduni na Michezo, Amos Makala (katikati), akiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dk. Albina Chuwa (kulia) na Mkuu wa Chuo cha Mipango Dodoma, Constantine Lifurilo, wakifuatilia zoezi la ufunguaji wa semina ya siku tatu kwa wahariri na waandishi waandamizi kuhusu sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, inayotarajia kufanyika usiku wa kuamkia tarehe 26, mwezi Okotba nchini kote. Mafunzo hayo yalifunguliwa leo, ukumbi wa Mwalimu Nyerere, Chuo cha Mipango Dodoma




 Wahariri na waandishi waandamizi wakifuatilia mafunzo wakati wa semina yao ya  siku tatu  kuhusu sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, inayotarajia kufanyika usiku wa kuamkia tarehe 26, mwezi Okotba nchini kote. Mafunzo hayo yamefunguliwa leo, ukumbi wa Mwalimu Nyerere, Chuo cha Mipango mjini Dodoma na Naibu Waziri wa Habari , Vijana , Utamaduni na Michezo, Amos Makala.


 Naibu Waziri wa Habari, Vijana , Utamaduni na Michezo, Amos Makala akifungua semina ya siku tatu kwa wahariri na waandishi waandamizi wa habari, kuhusu sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, inayotarajiwa kufanyika usiku wa kuamkia tarehe 26, mwezi Okotba nchini kote. Mafunzo hayo yamefunguliwa leo, ukumbi wa Mwalimu Nyerere, Chuo cha Mipango Dodoma.



Naibu Waziri wa Habari, Vijana , Utamaduni na Michezo Amos Makala akifungua semina ya siku tatu kwa wahariri na waandishi waandamizi wa habari kuhusu sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 inayotarajia kufanyika usiku wa kuamkia tarehe 26, mwezi Okotba nchini kote. 

Wahariri na waandishi waandamizi wa habari, wakifuatilia mafunzo wakati wa semina yao ya siku tatu kuhusu sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, inayotarajia kufanyika usiku wa kuamkia tarehe 26  mwezi Okotba nchini kote. Mafunzo hayo yamefunguliwa leo na Naibu Waziri wa Habari, Vijana , Utamaduni na Michezo Amos Makala, ukumbi wa Mwalimu Nyerere kwenye Chuo cha Mipango mjini Dodoma.

 Naibu Waziri wa Habari, Vijana , Utamaduni na Michezo Amos Makala (wa pili kulia),  akiagana na Viongozi mbalimbali wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), mara baada ya kuifungua semina ya siku tatu ya wahariri na waandishi wa habari waandamizi kutoka vyombo mbalimbali leo, Chuo cha Mipango mjini Dodoma. Wengine ni Mkurugenzi Mkuu wa NBS, Dk. Albina Chuwa (wa pili kushoto), Afisa Uhamasishaji wa Sensa wa NBS, Said  Ameir (kushoto) na kulia ni Mkuu wa chuo cha Mipango - Dodoma,  Constantine Lifuliro.


Naibu Waziri wa Habari, Vijana , Utamaduni na Michezo Amos Makala (wa tatu kushoto),  akibadilishana mawazo na baadhi ya wahahriri wa vyombo vya habari vya hapa nchini leo, Chuo cha Mipango mjini Dodoma mara baada ya kuifungua semina ya siku tatu kwa wahariri na waandishi hao, kuhusu sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, inayotarajiwa kufanyika usiku wa kuamkia tarehe 26,  mwezi Okotba nchini kote. 

Naibu Waziri wa Habari, Vijana , Utamaduni na Michezo Amos Makala (wa pili kushoto waliokaa),  akiwa katika picha ya pamoja na wahariri na waandishi waandamizi wa habari, mara ya kumalizika kwa zoezi la ufunguzi wa  semina ya siku tatu kwa wahariri na waandishi hao, kuhusu sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, inayotarajiwa kufanyika usiku wa kuamkia tarehe 26, mwezi Okotba nchini kote. (Picha zote na Tiganya  vincent- MAELEZO - DOPDOMA)

No comments:

Post a Comment