Ofisa
Nyaraka wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Erastus Msigwa akitoa
maelezo kwa wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii, jinsi
wanavyohifadhi kwa njia ya kisasa kadi za wananchama wa mfuko huo,
wakati wa wa semina waliyoandaliwa wabunge hao leo, Makao Makuu ya
NHIF, Dar es Salaam.
Meneja Idara ya Uanachama wa NHIF, Ellentruder Mbogoro, akitoa maelezo kwa wabunge jinsi wanavyohifadhi mafaili ya wana chama kwa njia ya kisasa
Mkurugenzi
Mkuu wa NHIF, Emmanuel Humba (kushoto), akiwa na Waziri wa Afya na
Ustawi wa Jamii, Dk. Hussein Mwinyi pamoja na Naibu wake, Dk. Seif , ambao pia walihudhuria semina hiyo.(Picha zote na Richard mwaikenda)
Meneja Idara ya Uanachama wa NHIF, Ellentruder Mbogoro, akitoa maelezo kwa wabunge jinsi wanavyohifadhi mafaili ya wana chama kwa njia ya kisasa
Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Emmanuel Humba akifafanua jambo kwa wabunge wa kamati hiyo, wakati wa semina yao hiyo. |
No comments:
Post a Comment