TANGAZO


Saturday, July 14, 2012

Rais Kikwete awasili Addis Ababa kuhudhuria mkutano wa Viongozi wa Afrika

Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea maua muda mfupi baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bole jijini Addis Ababa, Ethiopia kuhudhuria mkutano wa 19 wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa Afrika (AU) leo jioni.
 
Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili jijini Addis Ababa, Ethiopia kuhudhuria mkutano wa 19 wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika (AU) unaofanyika leo jioni. Kulia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe na kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia, Joram Biswaro (Picha zote na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment