TANGAZO


Monday, July 9, 2012

Rais Kikwete azungumza na Makamu wa Rais wa Afrika Kusini, Kgalema Montlante Ikulu


 Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, akimkaribisha Ikulu Makamu wa Rais wa Afrika Kusini, Kgalema Motlante wakati mgeni huyo alipomtembelea Rais Ikulu jijini leo. Kulia ni Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal.
 
 Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Makamu wa Rais wa Afrika Kusini Kgalema Motlante (kushoto), Ikulu jijini Dar es Salaam. Kulia nia Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal.
Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza Makamu wa Rais wa Afrika Kusini Kgalema Motlante (kushoto), mara baada ya kumaliza mazungumzo yao, Ikulu jijini Dar es Salaam leo. Kulia nia Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal. (Picha zote na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment