TANGAZO


Saturday, November 25, 2017

WADHAMINI WA AIDS TRUST FUND MARATHON WATUNUKIWA VYETI

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Anthony Mavunde,  akimkabidhi Cheti mwakilishi wa Mkapa Foundation, Deogratius Rimoy, kutambua mchango wa kufanikisha mbio za 'Aids Trust Fund Marathon' za Kilometa 5, 9 na 21  zilizofanyika leo asubuhi kwa ajili ya kuchangia mfuko wa Udhamini wa UKIMWI, kuelekea wiki ya Siku ya Ukimwi Duniani. (Picha Zote na Muhidin Sufiani (MAFOTO)
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Anthony Mavunde,  akimkabidhi Cheti Mkurugenzi wa kampuni ya Montage, Teddy Mapunda, kutambua mchango wa kufanikisha mbio za 'Aids Trust Fund Marathon' za Kilometa 5, 9 na 21  zilizofanyika leo asubuhi kwa ajili ya kuchangia mfuko wa Udhamini wa UKIMWI, kuelekea wiki ya Siku ya Ukimwi Duniani.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Anthony Mavunde,  akiongoza matembezi ya Kilometa tano......
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Anthony Mavunde (wa pili kuli)  akiongoza mazoezi ya viungo baada ya kumalizika mbio hizo.
Mazoezi yakiendelea....
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Anthony Mavunde,  (katikati) akiongoza mazoezi.
Mbio za Kilometa 21 zikianza...KWA PICJA ZAID BOFYA HAPA.

 Washiriki wa mbio hizo wakijiandaa kuanza.....
 Mbio zikiendelea....
 Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Anthony Mavunde,  akimkabidhi cheti mshindi wa kwanza wa mbio za Kilometa 9, Anold Kahwa.
 Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Anthony Mavunde,  akimkabidhi cheti mshindi wa pili wa mbio za Kilometa 9, Edgar Mapunda.
 Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Anthony Mavunde,  akimkabidhi cheti mshindi wa kwanza wa mbio za Kilometa 9, kwa upande wa wanawake, Irene Joseph.
 Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Anthony Mavunde,  akimkabidhi cheti mshindi wa kwanza wa mbio za Kilometa 21, Carlson Konga.
Washiriki wakitimua mbio


 Mafoto akishiriki matembezi ya Kilometa tano.
 Mama na mwana wakishiriki mbio za kilometa 9
 Mazoezi ya viungo
 Mazoezi ya viungo
 Picha ya pamoja .....
 Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS Dkt. Leonard Mabok, akiongea baada ya kumalizika mbio hizo.
 Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Anthony Mavunde,  akizungumza wakati wa hafla hiyo. 
 Picha ya pamoja
Picha ya pamoja....

No comments:

Post a Comment