Mkuu wa Wilaya ya Geita, Mwl. Herman Kapufu akishiriki zoezi la ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Kasota.
|
Wananchi wakishiriki zoezi zima la ujenzi wa zahanati.
|
Mganga Mkuu wa wilaya ya Geita, Dkt. Raphael Mhina akishiri zoezi la ujenzi wa zahanati kwenye kijiji na kata ya Kasota.
|
Mkuu wa Mkoa wa Geita,Mhandisi Robert Luhumbi akisisitiza wananchi kuendelea kujitokeza kwenye shughuli za maendeleo.
|
Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi Robert Luhumbi akishiriki ujenzi wa madarasa shule ya msingi Ludete.
|
No comments:
Post a Comment