Mkurugenzi Idara ya Kuratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Brigedia Jenerali Mbazi Msuya akifafanua jambo kwa Waziri Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles (kushoto) wakati alipomtembelea ofisini kwake leo mjini Bukoba alipokwenda kujionea hali ya urejeshwaji wa miundombinu iliyoharibiwa na tetemeko la ardhi.
Waziri Wizara ya
Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage akisaini kitabu cha wageni ofisi
ya Idara ya Kuratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu wakati alipotembelea ofisi za
idara hiyo leo mjini Bukoba alipokwenda kujionea hali ya urejeshwaji wa
miundombinu iliyoharibiwa na tetemeko la ardhi. (Picha zote na Eleuteri
Mangi, Maelezo, Bukoba)
No comments:
Post a Comment