Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Cuba Mhe. Salvador Valdes Mesa akishuka katika Ndege mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere (JNIA) leo Jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Hassan Suluhu akimwongoza mgeni wake Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Cuba Mhe. Salvador Valdes Mesa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere (JNIA) leo Jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Cuba Mhe. Salvador
Valdes Mesa Aakitembelea vikundi mbalimbali vya sanaa vilivyokuwepo uwanjani
kwa ajili ya kumkaribisha mara baada ya kuwasilii katika uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere (JNIA) leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake
ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda.(Picha zote na Frank Shija, Maelezo)
No comments:
Post a Comment