TANGAZO


Saturday, September 24, 2016

SPIKA WA BUNGE AMTEMBELEA KATIBU MKUU WA CCM LEO

Spika wa Bunge  Mhe Job Ndugai akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana alipomtembelea katika  Ofisi Ndogo za CCM zilizopo Mtaa wa Lumumba Jijini Dar es Salaam. 
Spika wa Bunge  Mhe Job Ndugai akikaribishwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana alipomtembelea katika  Ofisi Ndogo za CCM zilizopo Mtaa wa Lumumba Jijini Dar es Salaam. 
Spika wa Bunge  Mhe Job Ndugai akiwasili katika Ofisi Ndogo za CCM zilizopo Mtaa wa Lumumba Jijini Dar es Salaam alipofika kuzungumza na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana. 
Spika wa Bunge  Mhe Job Ndugai akimsikiliza Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Abdulrahman Kinana alipomtembelea na kuzungumza naye katika  Ofisi Ndogo za CCM zilizopo Mtaa wa Lumumba Jijini Dar es Salaam. 
Spika wa Bunge  Mhe Job Ndugai (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana (kushoto) na Msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka (kulia) wakati alipomtembelea Katibu Mkuu wa CCM. 
Spika wa Bunge  Mhe Job Ndugai akiagana na msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka mara baada ya kuzungumza na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana  katika  Ofisi Ndogo za CCM zilizopo Mtaa wa Lumumba Jijini Dar es Salaam.(Picha zote na Ofisi ya Bunge)

No comments:

Post a Comment