TANGAZO


Friday, March 25, 2016

Wanawake 16 watekwa nyara na Boko Haram Nigeria

Wapiganaji wa Boko Haram

Wapiganaji wa kundi la Boko Haram wamewateka nyara wanawake 16 katika eneo la mashambani kaskazini mashariki mwa jimbo la Adamawa huko Sabon Garin Madagali.

No comments:

Post a Comment