Uganda, Rwanda, Burundi na DR Congo ni miongoni timu za mataifa ya Afrika zitakazoshuka dimbani leo kwa mechi za kufuzu kwa Kombe la Mataifa Bingwa Afrika zitakazofanyika mwaka 2017 nchini Gabon.
Rwanda watakuwa nyumbani dhidi ya Mauritius nao Uganda wawe nyumbani dhidi ya Burkina Faso.
Hii hapa ndiyo ratiba ya mechi za leo.
(Kundi L) Malawi 14:30 Guinea
Uwanja: Kamuzu Stadium, Blantyre (MWI)
(Kundi K) Niger 15:00 Senegal
Uwanja: Stade Général S. k., Niamey (NIG)
(Kundi A) Togo 15:00 Tunisia
Uwanja: KEGUE, Lomé (TOG)
(Kundi J) Lesotho 15:00 Seychelles
Uwanja: Setsoto Stadium, Maseru (LES)
(Kundi H) Rwanda 15:30 Mauritius
Uwanja: Kigali, Kigali (RWA)
(Kundi A) Liberia 16:00 Djibouti
Uwanja: Antonitte Tubman Studium (ATS) , Monrovia (LBR)
(Kundi M) Gambia 16:30 Mauritania
Uwanja: Bakau, Bakau (GMB)
(Kundi B) Angola 17:00 DR Congo
Uwanja: 11 de Novembro, Luanda (ANG)
(Kundi K) Namibia 17:00 Burundi
Uwanja: Sam Nujoma Stadium, Windhoek (NAM)
(Kundi J) Ethiopia 17:00 Algeria
Uwanja: Addis Ababa Stadium, Addis Ababa (ETH)
(Kundi G) Egypt 19:00 Nigeria
Uwanja: Kujulikana baadaye
(Kundi D) Uganda 19:00 Burkina Faso
Uwanja: Mandela National Stadium , Kampala (UGA)
(Kundi M) South Africa 19:00 Cameroon
Uwanja: Moses Mabhida Stadium-Durban , Durban (RSA)
(Kundi F) Morocco 20:00 Cape Verde
Uwanja: Grand stade Marrakech , Marrakech (MAR)
(Kundi I) Sudan 20:00 Cote d'Ivoire
Uwanja: El Merriekh Stadium , Khartoum- Sudan (SDN)
No comments:
Post a Comment