Ndege ya Flydubai
Ndege ya abiria iliyokuwa na watu 62 imeanguka ilipukuwa ikitua katika mjini ulio kusini mwa Urusi wa Rostov-on-Don.
Ndege hiyo aina ya Boeng 737 iliyokuwa ikitoka Dubai ilimilikiwa na shirika la Flydubai.
Ilianguka mita mia kadha kutoka kwa barabara ya uwanja ambapo ilivunjika na kushika moto.

No comments:
Post a Comment