Mitt Romney
Aliyekuwa mgombea wa urais nchini Marekani Mitt Romney amesema kuwa atampigia kura seneta wa Texas Ted Cruz kwa kuwa ''havutiwi'' na mgombea wa chama hicho aliye kifua mbele Donald Trump.
Anajiunga na viongozi wengine wa Republican wanaomuunga mkono Bwana Cruz.

No comments:
Post a Comment