TANGAZO


Friday, March 18, 2016

Korea Kaskazini yarusha makombora 2 baharini

Korea Kaskazini yarusha makombora mawili baharini

Taifa la Korea Kaskazini limerusha makombora mawili ya masafa marefu katika bahari ya mashariki ya pwani yake,siku chache baada ya kiongozi wake Kim Jong-un kuagiza majaribio ya mabomu zaidi ya kinuklia na silaha nyengine.
Korea Kusini imeelezea jaribio hilo la hivi karibuni kama tishio kubwa la usalama na udhabiti wa eneo hilo.
Korea Kaskazini
Shirika la habari la Korea Kusini Yonhap limesema kuwa kombora la pili huenda liliharibika hewani.
Ripoti za awali zilisema kuhusu kombora moja lililorushwa.

No comments:

Post a Comment