Korea Kaskazini yarusha makombora mawili baharini
Taifa la Korea Kaskazini limerusha makombora mawili ya masafa marefu katika bahari ya mashariki ya pwani yake,siku chache baada ya kiongozi wake Kim Jong-un kuagiza majaribio ya mabomu zaidi ya kinuklia na silaha nyengine.
Korea Kusini imeelezea jaribio hilo la hivi karibuni kama tishio kubwa la usalama na udhabiti wa eneo hilo.
Ripoti za awali zilisema kuhusu kombora moja lililorushwa.

No comments:
Post a Comment