TANGAZO


Tuesday, November 17, 2015

Vijana nchini kuendelea kunufaika na Programu ya Kukuza Ajira zenye Staha Dar es Salaam (YEID)

Mratibu wa Programu ya kukuza Ajira zenye staha kwa Vijana Dar es Salaam,kupitia  Elimu ya Biashara na Ujasiriamali Bw.Bw. Dominic Ngunguru akiwasilisha mada kuhusu maendeleo ya utekelezaji wa Programu hiyo kwa robo ya tatu mapema wikiendi hii jijini Dar es Salaam. 
Ofisa mwelekezi wa wa Programu ya kukuza Ajira zenye staha kwa Vijana Dar es Salaam,kupitia  Elimu ya Biashara na Ujasiriamali. Bi. Emiliana Muchu akiwasilisha mada kuhusu mafanikio ya program  hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa Kamati inayokutanisha wadau wa program hiyo. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya True Maisha Bw. Erick Crispin akiwasilisha mada namna taasisi yake inavyofanya shughuli zake katika kutoa mafunzo kwa Vijana hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
Meneja wa Programu ya kukuza Ajira zenye staha kwa Vijana Dar es Salaam Bibi. Maria Fustiniano (wapili kulia) akifafanua jambo wakati wa mkutano wa kamati ya wadau wa program hiyo uliofanyika mapema wikiendi hii jijini Dar es Salaam. (Picha zote na Frank Shija, WHVUM)

No comments:

Post a Comment