TANGAZO


Sunday, February 1, 2015

Wabunge wapewa Semina ya Usambazaji wa Matokeo ya Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012

Mgeni Rasmi katika Semina ya Usambazaji wa Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2012  kwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iliyofanyika leo mjini Dodoma, Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina hiyo. 
 Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum, akitoa ufafanuzi juu ya maswali ya Wabunge.
Kamishna wa Sensa Tanzania, Hajjat Amina Mrisho, akizungumza katika semina hiyo.
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dkt. Albina Chuwa akiwasilisha mada, wakati wa semina hiyo kwa Wabunge.
Waziri wa Uchukuzi Samuel Sitta, ambaye amemuwakilisha Mgeni Rasmi wa Semina hiyo, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akiwa na Waziri wa Fedha Saada Mkuya.
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi, Goodluck Ole Medeye akichangia.
Mbunge wa Jimbo la Mkanyageni, Mohamed Habibu Mnyaa, akichangia mada katika semina hiyo.
 Waziri wa Sheria na Katiba Selina Kombani, akichangia kwenye semina hiyo.
Baadhi ya Wabunge waliohudhutia semina hiyo, wakisikiliza mada iliyokuwa ikitolewa kwenye semina hiyo. (Picha zote na Hussein Makame-MAELEZO, Dodoma)

No comments:

Post a Comment