TANGAZO


Saturday, December 27, 2014

Mafunzo ya kuandaa mitihani kwa njia ya kisasa yafanyika kisiwani Pemba

Washiriki ambao ni waalimu wa Vyuo mbalimbali kisiwani Pemba, kikiwemo chuo cha amali Vitongoji Chakechake, wakimsikiliza Afisa wa mafunzo ya amali Pemba, mwalimu Othman Zaidi Othman wakati akielezea umuhimu wa mafunzo kwa waalimu hao, juu ya namna ya kuandaa mitihani kwa njia ya kisasa (Picha zote na Haji Nassor, Pemba)
Ofisa Mafunzo ya amali Pemba, Mwalimu Othman Zaidi Othman, wakati akielezea umuhimu wa mafunzo kwa waalimu wa vyuo mbali mbali kikiwemo cha mafunzo ya amali Pemba, juu ya namna ya kuandaa mitihani kwa njia ya kisasa na utoaji matokeo.
Mratibu wa Mamlaka ya Mafunzo ya amali Pemba mwalimu Juma Suleiman, akimkabidhi mmoja wa waalimu wa vyuo mbali mbali ambao wamemaliza mafunzo yao ya siku kumi ya kuwapa mbinu waalimu ya usomeshaji na utungaji mitihani kitaalamu.

No comments:

Post a Comment