Mwandikishaji wa kituo cha kujiandikisha cha kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Beatrice Likundo (kulia) kilichopo kwenye Shule ya Msingi Mivinjeni jijini Dares Salaam, akimwandikisha jina leo Mkazi wa Mtaa wa Mivinjeni, Evod Millinga kwa ajili ya uchaguzi huo.
Mkazi wa Mtaa wa Mivinjeni, Asha Bakari (kushoto), akijiandikisha leo,
kwa mwandikishaji wa kituo cha kujiandikisha cha kura kwa ajili ya
uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Beatrice Likundo kilichopo kwenye Shule
ya Msingi Mivinjeni jijini Dar es Salaam.
Mkazi wa Mtaa wa Mivinjeni, Asha Bakari (kushoto), akijiandikisha leo
kwa mwandikishaji wa kituo cha kujiandikisha cha kura kwa ajili ya
uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Beatrice Likundo kilichopo kwenye Shule
ya Msingi Mivinjeni jijini Dar es Salaam.
Mkazi wa Mtaa wa Mivinjeni, Evod Millinga
(kushoto), akijiandikisha akionesha kitambulisho chake kwa
mwandikishaji wa kituo cha kujiandikisha cha kura kwa ajili ya
uchaguzi wa Serikali za Mitaa leo, Beatrice Likundo (kulia), kilichopo
kwenye Shule ya Msingi Mivinjeni jijini Dar es Salaam.
Mkazi wa Mtaa wa Mivinjeni, Gilbert Katoto (kulia) akitia saini leo, mara baada ya kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali Mitaa katika kituo cha kujiandisha cha Katakiu kwa Bea kilichopo kwenye Mtaa wa Mivinjeni jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mwandikishaji wa kituo hicho, Isabela Mwera.
Mkazi wa Mtaa wa Shimo la Udongo, Abdallah Rashid Abdallah (kushoto), akitia saini leo, mara baada ya kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa leo jijini Dar es Salaam katika kituo cha polisi cha Shimo la Udongo. Kulia ni mwandikishaji wa kituo hicho, Nongaki Hassan. (Picha zote na Magreth Kinabo - Maelezo)







No comments:
Post a Comment