Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NBC,Rukia Mtingwa wa kwanza kushoto akimkabidhi hundi yenye thamani ya shilling milioni 116,952,000 Mkurugenzi wa Kituo cha MAA MEDI bwana Furaha Levilal wa kwanza kulia katika uzinduzi wa program maalum ya Vijana.
Friday, October 31, 2014
Ujasiriamali na Miradi ya Uzalishaji mali Chachu ya Vijana kuachana na matumizi dawa za kulevya
Baadhi ya washiriki walioudhuria uzinduzi huo
wakimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana wakati wa
uzinduzi wa Program maalum kwa Vijana iliyoandaliwa na kituo cha MAA MEDI.
Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NBC,Rukia Mtingwa wa kwanza kushoto akimkabidhi hundi yenye thamani ya shilling milioni 116,952,000 Mkurugenzi wa Kituo cha MAA MEDI bwana Furaha Levilal wa kwanza kulia katika uzinduzi wa program maalum ya Vijana.
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana Bwana James kajugusi akiteta jambo na Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano
wa Benki ya NBC, Rukia Mtingwa alipokuwa akizindua Programu Maalumu kwa Vijana
itakayotolewa Kituo cha MAA MEDI.
Meneja
wa Miradi kutoka kituo cha MAA MEDI bwana Albany James akiongea na waandishi wa
habari katika uzinduzi wa programu maalum kwa Vijana iliyozinduliwa jana jijini
Dar es Salaam.
Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NBC,Rukia Mtingwa wa kwanza kushoto akimkabidhi hundi yenye thamani ya shilling milioni 116,952,000 Mkurugenzi wa Kituo cha MAA MEDI bwana Furaha Levilal wa kwanza kulia katika uzinduzi wa program maalum ya Vijana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment