TANGAZO


Monday, October 6, 2014

Katiba Inayopendekezwa kukabidhiwa kwa Rais Kikwete, Dk. Shein keshokutwa Okt. 8

Mkuu wa mkoa wa Dodoma Dk. Rehema Nchimbi akitoa ufafanuzi kuhusu makabidhiano ya Katiba inayopendekezwa, yatakayofanywa kati ya viongozi wa Bunge maalumu la katiba watakao kabidhi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete na wa Zanzibar Dk. Mohamed Shein kwa waandishi wa habari, makabidhiano hayo yatafanyika Okt. 8, 2014 katika Uwanja wa Jamhuri, mjini Dodoma.
Mkuu wa mkoa wa Dodoma Dk. Rehema Nchimbi akitoa ufafanuzi kuhusu makabidhiano ya Katiba inayopendekezwa, yatakayofanywa kati ya viongozi wa Bunge Maalumu la Katiba watakao kabidhi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete na wa Zanzibar Dk. Mohamed Shein kwa waandishi wa habari, makabidhiano hayo yatafanyika Okt. 8, 2014 katika Uwanja wa Jamhuri, mjini Dodoma.
Mkuu wa mkoa wa Dodoma Dk. Rehema Nchimbi akitoa ufafanuzi kuhusu makabidhiano ya Katiba inayopendekezwa, yatakayofanywa Uwanja wa Jamhuri, mjini Dodoma Okt. 8, 2014.
Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk. Rehema Nchimbi alipokua akielezea kuhusu makabidhiano ya Katiba inayopendekezwa, yatakayofanyika keshokutwa Okt. 8,  mwaka huu katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma. (Picha zote na John Banda-Dodoma)

No comments:

Post a Comment