TANGAZO


Tuesday, September 2, 2014

Naibu IGP akutana na Makamishina wa Polisi kutoka Namibia


1
Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi, Abdulrahman Kaniki akimkabidhi zawadi Kamishna wa Polisi wa Namibia Bw. Schalk Meuwesen ofisini kwake jana. Kamishna huyo yupo nchini kwa ziara ya siku tatu akiwa na maafisa wengine kutoka Namibia kujifunza jinsi Jeshi la Polisi Tanzania lilivyofanikiwa katika kutekeleza Maboresho yake.
2Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi, Abdulrahman Kaniki akimfafanulia namna maboresho ya Polisi yalivyoanza Kamishna wa Polisi wa Namibia Bw. Schalk Meuwesen ofisini kwake jana. Kamishna huyo yupo nchini kwa ziara ya siku tatu akiwa na maafisa wengine kutoka Namibia kujifunza jinsi Jeshi la Polisi Tanzania lilivyofanikiwa katika kutekeleza Maboresho yake.
3Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi, Abdulrahman Kaniki akiwafafanulia namna maboresho ya Polisi yalivyoanza Makamishna wa Polisi kutoka Jeshi la Polisi la nchini Namibia Bw.Schalk Meuwesen na Bw. Abed Kashihakumwa ofisini kwake jana.makamishna hao pamoja maafisa wengine wapo nchini kwa ziara ya siku tatu kujifunza jinsi Jeshi la Polisi Tanzania lilivyofanikiwa katika kutekeleza Maboresho yake. (Picha zote na Frank Geofray wa Jeshi la Polisi)

No comments:

Post a Comment