TANGAZO


Friday, July 4, 2014

Ujerumani 1-0 Ufaransa



Mfungaji bao la Ujerumani
45'' Kipindi cha kwanza kimekamilika .
44 Ujerumani 1-0 Ufaransa
41 Benzema anakosa fursa nyengine ya kuisawazishia Ufaransa.
40'' Mechi hii inaendelea katika uwanja wa kihistoria wa Maracana

Bao la Mat Hummels
Kufikia sasa Bao la dakika ya 12 la Mats Hummels ndilo linaipatia ujermani kipao mbele
Mshindi wa mechi hii atakutana na mshindi kati ya Brazil na Colombia katika nusu fainali.
Ujerumani inakabiliana na Ufaransa kutafuta tikiti ya nusu fainali ya kombe la dunia .

Mashabiki wa Ufaransa

No comments:

Post a Comment