TANGAZO


Saturday, July 5, 2014

Rais Jakaya Kikwete atembelea Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Viwanja vya Sabasaba Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam

Rais Jakaya  Kikwete akiangalia (katikati), sahani ambazo si rahisi kuvunjika(kushoto) ni Sohaic Ahamed kutoka Pakstan, kwenye banda la  Karume  wakati  akitembelea leo  maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea  kwenye viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares Salaam.
Rais Jakaya  Kikwete akiangalia shamba la mahindi  katika banda la  Jeshi la Magereza (kushoto) na kulia  ni  Kamishna Gaston Sanga wa jeshi hilo,  wakati  akitembelea leo  maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea  kwenye viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares Salaam.
Rais Jakaya  Kikwete akisisitiza  juu ya utoaji wa elimi wa kilimo cha kisasa kwa wananchi baada ya  kuona  bustani  bora ya kilimo cha nyanya katika banda la  Jeshi la Magereza (kulia)  kwa Sajenti  Nicolas Sikazwe  wa jeshi hilo  kushoto wa jeshi hilo, wakati  akitembelea leo  maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea  kwenye viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares Salaam.
Rais Jakaya  Kikwete akisisitiza  juu ya utoaji wa elimu wa kilimo cha kisasa kwa wananchi   baada ya  kuona  bustani  bora ya kilimo cha nyanya katika banda la  Jeshi la Magereza (kushoto) na kulia  ni  Kamishna Gaston Sanga wa jeshi hilo, wakati  akitembelea leo, maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea  kwenye viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares Salaam.
Rais Jakaya  Kikwete akitia saini  katika kitabu cha wageni kwenye banda la Shirika la Nyumba Tanzania(NHC),  wakati  akitembelea leo  maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea  kwenye viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares Salaam.
Rais Jakaya  Kikwete akipata maelezo  juu ya shughuli za  Shirika la   Maendeleo  ya Petroli   Tanzania  (TPDC )kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji, Yona  Killagane, wakati  akitembelea leo, maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea  kwenye viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares Salaam.
Baadhi ya wananchi wakitembelea leo  maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea  kwenye viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares Salaam.
Rais  Jakaya Kikwete akitoka katika Banda la Tanzania  na kuingia banda la Benki Kuu ya Tanzania (BOT) huku akisaliana na baadhi ya viongozi wa BOT, wakati  akitembelea leo  maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea  kwenye viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares Salaam.
Rais Jakaya Kikwete akisikiliza jambo kutoka kwa Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki na Sarafu, Emmanuel Boas (aliye nyoosha mkono)katika banda la Benki Kuu ya Tanzania(BOT), wakati akitembelea leo, maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares Salaam.
Rais Jakaya  Kikwete akiangalia  aina za mafuta   katika banda la   Shirika la   Maendeleo  ya Petroli   Tanzania  (TPDC)(kulia ) na kushoto anayeeleza ni  Mgeolojia  Ibrahim  Rutta, wakati  akitembelea leo, maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea  kwenye viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares Salaam.
Rais Jakaya Kikwete akiangalia  darubuni  ya kupima  visukuku wa wanyama na mimea  kwa  ajili ya kubaini mafuta katika banda la   Shirika la Maendeleo  ya Petroli   Tanzania  (TPDC), anayetabasamu ni mtaalamu wa Visukuku wa wanyama, Adam Sajilo wakati  akitembelea leo, maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea  kwenye viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dar es Salaam. (Picha zote na Magreth Kinabo- Maelezo)

No comments:

Post a Comment