Mbunge wa Ludewa, Mheshimiwa Deo Filikujombe (kushoto) akipata maelezo toka kwa mtaalam wa Tanesco wakati wa zoezi la kuchimba mashimo ili kuweka guzo za umeme kuelekea kijiji cha Nindi, Ntumbati na Lupingu mapema leo, asubuhi Julai 7, 2014. (Picha zote na Sheila Simba)
Wananchi wa kijiji cha Nindi, Ludewa wakikagua nguzo kabla ya zoezi la kuchimba mashimo.
|
Wananchi wa kijiji cha Nindi, Ludewa wakikagua nguzo kabla ya zoezi la kuchimba mashimo.
No comments:
Post a Comment