TANGAZO


Wednesday, June 11, 2014

Waandishi wa habari wapigwa msasa chapisho la Tatu la sensa

Ofisa Uhamasishaji wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012, kutoka Ofisi wa Taifa ya Takwimu(NBS)Veronica Kazimoto akitoa mada juu ya majukumu ya vyombo vya habari kwa waandishi wa habari katika kuelimisha jamii juu ya Chapisho la Tatu la taarifa za msingi za Kidemografia ,Kijamii na Kiuchumi linalotokana na Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 kwenye hoteli ya Peacock jijini Dar es Salaam.
Mratibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 kutoka Ofisi wa Taifa ya Takwimu (NBS)  Irenius  Ruyobya akitoa mada juu ya matokeo muhimu ya Chapisho la Tatu la taarifa za msingi za Kidemografia,Kijamii na Kiuchumi linalotokana na Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 kwa waandishi wa habari, kwenye hoteli ya Peacock, jijini Dar es Salaam.
Ofisa wa Teknolojia ya Habari, Bakari Omary kutoka Ofisi wa Taifa ya Takwimu (NBS) akitoa mada kuhusu namnaya kupata Takwimu kupitia Tovuti kwa waandishi wa habari kwenye hoteli ya Peacock jijini Dar es Salaam. (Picha zote na Magreth Kinabo – Maelezo)

No comments:

Post a Comment