Wachezaji
wa Timu ya Kokni Jamat ya Zanzibar wakiteremka kwenye boti wakitokea
Dar es laam kwenye Bonanza la Pasaka ambapo wamefanikiwa kuchukuwa
makombe matatu ya mshindi wa kwanza katika michezo ya Play Station,
mpira wa meza na mpira wa miguu dhidi ya wenyeji wao. Aliebeba kombe
kubwa ni Rais wa Jumuia ya Kokn Jamat ya Zanzibar Jeff Babu.
No comments:
Post a Comment