MWENYEKITI wa mafunzo ya haki za binaadamu, kwa waandishi wa habari kisiwani
Pemba, Ali Abass Omar, akifunga mafunzo hayo, yalioandaliwa na Kituo cha Huduma
za Sheria Zanzibar ZLSC, tawi la Pemba, kulia ni Mratibu wa kituo hicho Fatma Khamis
Hemed, na katikati ni mtoa mada Asha Ali.
KUMEKUA kukijitokeza tabia mbaya ya wafugaji, kufunga mifugo kwenye maeneo
ya skuli mbali mbali, ambapo mpiga picha wetu, alishuhudi dume la Ng’ombe
katika skuli ya msingi ya Madungu mjini Chakechake, likiwa linajipatia mlo kama liko malishoni.
MKUU
wa Kamisheni ya Utalii Pemba, Suleiman Amour
(mwenye kofia), akimtembeza mshindi wa droo ya kutembelea vivutio vya utalii Pemba, Agnes Barbra Tayari, wakiwa katika hoteli ya Misali nje kidogo ya mji wa
Chake-chake, nyuma ni afisa habari kamisheni ya Utalii Zanzibar nd: Amour Mtumwa
Ali.

No comments:
Post a Comment