TANGAZO


Tuesday, October 29, 2013

Yanga yakung'uta Mgambo Shooting mabao 3-0

Mashabiki wa Yanga wakifuatilia mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom kati ya timu yao hiyo na Mgambo Shooting, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo. (Picha zote na Kassim Mbarouk-www.bayana.blogspot.com)
Peter Mwalanzi wa Mgambo Shooting, akimtoka Simon Msuva wa Yanga, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, uliochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo.
Peter Mwalanzi wa Mgambo Shooting, akimtoka Simon Msuva wa Yanga, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, uliochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo.
Peter Mwalanzi wa Mgambo Shooting, akimtoka Simon Msuva wa Yanga, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, uliochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo.
Mrisho Ngassa wa Yanga, akijaribu kumtoka Peter Mwalanzi wa Mgambo Shooting katika mchezo huo.
Mrisho Ngassa wa Yanga na Peter Mwalanzi wa Mgambo Shooting wakikimbilia mpira, wakati wa mchezo huo.
Mrisho Ngassa wa Yanga na Peter Mwalanzi wa Mgambo Shooting wakikimbilia mpira, wakati wa mchezo huo.
Simon Msuva wa Yanga na Peter Mwalanzi wa Mgambo Shooting wakiwania mpira, wakati wa mchezo huo.
Wachezaji wa Yanga wakishangilia bao lao la kwanza lililofungwa na Mbuyu Twite, wakati ilipopambana na Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo.
Wachezaji wa Yanga wakipongezana na kushangilia bao lao la kwanza lililofungwa na Mbuyu Twite.
Wachezaji wa Yanga wakipongezana na kushangilia bao lao la kwanza lililofungwa na Mbuyu Twite.
Wachezaji wa Yanga wakipongezana na kushangilia bao lao la kwanza lililofungwa na Mbuyu Twite.
Mrisho Ngassa wa Yanga, akijaribu kuwatoka Bashiru Chanache (katikati) na Daud Salum wa Mgambo Shooting wakati wa mchezo huo.
Rajab Zahir wa Yanga, akiudhibiti mpira huku akifuatwa na Bakari Mtama wa Ruvu Shooting.
Rajab Zahir wa Yanga na Bakari Mtama wa Ruvu Shooting, wakipambana kuuwania mpira.
Rajab Zahir wa Yanga akiudhibiti mpira huku akifuatwa na Bakari Mtama wa Ruvu Shooting.
Simon Msuva wa Yanga akifuatwa na Bakari Mtama na Bashiru Chanache wote wa Ruvu Shooting. Mpaka mwisho wa mchezo huo, Yanga ilishinda mabao 3-0.

No comments:

Post a Comment