TANGAZO


Saturday, August 17, 2013

Rais Kikwete uso kwa uso na Rais Joyce Banda nchini Malawi


Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Rais Joyce Banda wa Malawi wakati wa ufunguzi wa mkutano wa 33 wa SADC uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Bingu, mjini Lilongwe Malawi.
Rais Jakaya Kikwete (wa tano kushoto mstari wa mbele) akiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika  (SADC), baada ya ufunguzi wa mkutano wa 33 wa SADC uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Bingu, mjini Lilongwe Malawi  jana.Wengine katika picha kutoka kushoto msitari wa mbele ni Naibu Waziri Mkuu wa Namibia, Marko Hausiku, Makamu wa Rais wa Zambia Dk. Guy Scott, Rais wa Afrika ya Kusini, Jacob Zuma, Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo(DRC), Rais Joyce Banda wa Malawi, Rais Armando  Guebuza wa Msumbiji, Katibu Mtendaji wa SADC anayemaliza muda wake Dk. Tomaz Salomao, Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe, na Rais Ian Khama wa Botswana. (Picha zote na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment