Baadhi ya Askari wa Jeshi la Wananchi wa
Tanzania (JWTZ), wakimshusha mwenzao baada ya kujigonga kwenye mti na kujeruhiwa vibaya
na kupasuka sehemu za kichwani wakati akiwa kwenye Lori lenye namba za usajili
5514 JW 07, aina ya IVECO kandokando ya barabara ya Samora, karibu na Idara ya
Habari (Maelezo), jijini Dar es Salaam jioni hii.
Baadhi ya wasamaria wema wakimpeleka Hospitali
majeruhi huyo.
Majeruhi akiingizwa katika Bajaji tayari kwa
ajili ya kupelekwa Hospitali.
Lori aina ya IVECO, ambalo majeruhi huyo, alikuwa
amepanda huku likiwa limesheheni mizigo.
| Wananchi wakilishangaa lori hilo, lililokuwa likipita barabara ya Samora kwa kupita sehemu ya njia moja (No Entry) ya mtaa huo. |
Hii ndiyo Barabara ya Samora, ilipotokea ajali
hiyo.
Hapa ndipo alipojigonga majeruhi na kupasuka
sehemu za kichwani.

No comments:
Post a Comment