Wananchi kutoka sehemu mbalimbali ya Zanzibar wa wakiwa katika kilele cha Sherehe za miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilizofanyika leo, Uwanja wa Amaan Mjini humo.
|
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akikagua kikosi cha wanawake cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wakati wa maadhimisho hayo.
|
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akikagua kikosi cha wanaume cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wakati wa maadhimisho hayo.
|
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akikagua Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), wakati wa maadhimisho hayo.
|
|
Rais
wa Zanzibar
na Mwenyekiti
wa Baraza
la Mapinduzi, Dk.
Ali Mohamed
Shein, akisalimiana na
viongozi mbalimbali wakati
alipomaliza kukagua vikosi vya ulinzi katika kilele cha sherehe za maadhimisho ya Miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar, uwanja wa Amaan, Mjini Unguja leo.
|
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barazala Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Rais mstaafu wa Zanzibar, Dk. Salmin Amour Juma, alipowasilikatika Uwanjawa Amaan
kwenye maadhimisho ya miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar leo.
|
Rais wa Zanzibar na Mwenyekitiwa Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimianana Rais Jakaya Kikwete, alipowasili Uwanja wa Amaan kwenye maadhimisho ya miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar leo
|
|
Rais
wa Zanzibar
na Mwenyekiti
wa Baraza
la Mapinduzi, Dk. Ali
Mohamed Shein, akisalimiana
na Rais
mstaafu wa Zanzibar,
Dk. Amani
Abeid Karume, alipowasili
katika Uwanja
wa Amaan
kwenye maadhimisho ya miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar leo.
|
Baadhi ya viongozi mbalimbali waliohudhuria katik sherehe za kilele cha miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilizofanyika katika Uwanja wa Amaan Mjini Zabzibar, wakisikiliza hotuba ya Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein, wakati wa kilele cha maadhimisho hayo.
|
Kikosi cha Jeshi la (KMKM), Wanaume kikipita mbale ya Rais Dk. Shein kwa gwaride la mwendo wa haraka, katika sherehe za kutimia miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar, Uwanja wa Amaan Mjini Unguja leo.
|
Kikosi Maalum cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kikipita mbele ya Rais Shein kwa gwaride la mwendo wa kurukaruka, katika maadhimisho hayo.
|

No comments:
Post a Comment