Moto umepamba katika kisiwa cha Tasmania, Australia, na
kulazimisha maelfu ya watu kukimbia makwao.

Nyumba zaidi ya 100 zimeangamia.
Kuna myoto kama 40 inawaka katika kisiwa hicho lakini upepo mkali na joto jingi limeanza kupungua.
Wazima moto piya wamekuwa wakipambana na moto barani Australia, ambako joto limezidi katika kiangazi cha mwaka huu.
No comments:
Post a Comment