Friday, January 11, 2013
Makamu wa Rais, Dk. Bilal azindua Hoteli ya Kitalii ya Gold Zanzibar Beach House & SPA Kaskazini UngujaMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Hoteli ya Kitalii ya Gold Zanzibar Beach House & Spa, iliyopo Mkoa wa Kaskazini A, Unguja, wakati wa hafla ya uzinduzi huo iliyofanyika leo Januari 11, 2013, mjini Unguja. Kulia ni Waziri wa Fedha, Zanzibar, Mhe. Omary Yusuph Mzee, (wa pili kushoto) ni Mkurugenzi wa Hoteli hiyo, Alexandro Azola. Picha na OMR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





No comments:
Post a Comment