TANGAZO


Friday, January 11, 2013

Makamu wa Rais, Dk. Bilal azindua Hoteli ya Kitalii ya Gold Zanzibar Beach House & SPA Kaskazini UngujaMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Hoteli ya Kitalii ya Gold Zanzibar Beach House & Spa, iliyopo Mkoa wa Kaskazini A, Unguja, wakati wa hafla ya uzinduzi huo iliyofanyika leo Januari 11, 2013, mjini Unguja. Kulia ni Waziri wa Fedha, Zanzibar, Mhe. Omary Yusuph Mzee, (wa pili kushoto) ni Mkurugenzi wa Hoteli hiyo, Alexandro Azola. Picha na OMR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua rasmi Hoteli ya Kitalii ya Gold Zanzibar Beach House & SPA, iliyopo Mkoa wa Kaskazini A, Unguja. Uzinduzi huo umefanyika leo, Januari 11, 2013, mjini Unguja. Kulia ni Waziri wa Fedha wa Zanzibar, Omary Yusuph Mzee, wa pili kushoto ni Mkurugenzi wa Hoteli hiyo, Alexandro Azola. (Picha zote na OMR)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa mhudumu wa mapokezi wa chumba cha mazoezi na masaji, Zuhura Saleh (kushoto), wakati alipokuwa akitembelea na kukagua maeneo na mazingira ya Hoteli ya ya Kitalii ya Gold Zanzibar Beach House & SPA, iliyopo Mkoa wa Kaskazini A, Unguja, wakati wa hafla ya uzinduzi wa hoteli hiyo, uliofanyika leo, Januari 11, 2013, mjini Unguja. Kulia ni Waziri wa Fedha wa Zanzibar, Omary Yusuph Mzee. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Hoteli ya Kitalii ya Gold Zanzibar Beach House & SPA, Alexandro Azola (ushoto), wakati alipokuwa akitembelea na kukagua maeneo na mazingira ya Hoteli ya hiyo, iliyopo Mkoa wa Kaskazini A, Unguja, wakati wa hafla ya uzinduzi iliyofanyika leo, Januari 11, 2013, mjini Unguja.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal,  akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Hoteli ya Kitalii ya Gold Zanzibar Beach House & SPA, Alexandro Azola (ushoto), wakati alipokuwa akitembelea na kukagua maeneo na mazingira ya Hoteli ya hiyo, iliyopo Mkoa wa Kaskazini A, Unguja wakati wa hafla ya uzinduzi iliyofanyika leo, Januari 11, 2013, mjini Unguja. Kulia ni Waziri wa Fedha wa Zanzibar, Omary Yusuph Mzee.

No comments:

Post a Comment