|
Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mohamed Chande Othman (kushoto), akitoa maoni ya Mahakama katika mkutano na Tume ya Mabadiliko ya Katiba,
uliofanyika Ofisi za Tume, jijini Dar es Salaam leo, Jumatatu, Jan
14, 2013. Wengine kutoka kulia ni Wajumbe wa Tume, Makamu Mwenyekiti wa Tume
na Jaji Mkuu mstaafu, Augustino Ramadhani, Profesa Mwesiga Baregu, Raya
Suleiman Hamad na Jessica Mkuchu.
|
No comments:
Post a Comment