Katibu Mkuu wa Ofisi
ya Makamu wa Rais, Sazi Salula
(kulia) Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu
wa Rais, Eng.
Ngosi Mwihava (katikati) na Mkurugenzi wa Muungano,
Rajab
Baraka (kushoto) wakifuatilia vifungu katika
machapisho ya kujadili
masuala ya Muungano, wakati
wa kikao cha Muungano, kilichoendeshwa na
Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.
Mohammed Gharib
Bilal (hayupo pchani), kilhanyika leo Januari 14, 2013, katika ukumbi
wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort, mjini Zanzibar.
|
No comments:
Post a Comment