Rais Jakaya Kikwete apokea majengo matatu mapya ya huduma za mama na mtoto Dar es Salaam
Rais Jakaya Mrisho
Kikwete, Mama Salma Kikwete, Mbunge wa Ubungo, John Mnyika na Balozi wa Korea
kwa pamoja wakifungua rasmi jengo la Huduma za Mama na Mtoto katika Hospitali ya
Sinza Palestina, Kinondoni jijini Dar es Salaam leo December 11,
2012.
Rais Jakaya Mrisho
Kikwete, Mama Salma Kikwete na Balozi wa Korea kwa pamoja wakitembelea sehemu ya
chumba cha upasuaji mkubwa chenye vifaa vya kisasa baada ya kufungua rasmi jengo
la Huduma za Mama na Mtoto katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Ilala, jijini Dar es
Salaam leo, December 11, 2012.
Rais Jakaya Mrisho
Kikwete, Mama Salma Kikwete wakimsalimia mzazi aliyejifungua salama alipofanya
ziara baada ya kufungua rasmi jengo la Huduma za Mama na Mtoto katika Hospitali
ya Sinza Palestina, Kinondoni jijini Dar es Salaam leo December 11, 2012. (Picha zote na Ikulu)
No comments:
Post a Comment