TANGAZO


Tuesday, December 11, 2012

Waliopandi​sha bendera ya Taifa Mlima Kilimanjar​o wapokelewa na Waziri wa Maliasili na Utalii

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hifadhi za Taifa(TANAP), Allan Kijazi akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuwapokea wapanda mlima zaidi ya 30, waliopanda Mlima Kilimanjaro Desemba 6 kwa lengo la kupandisha bendera ya Taifa kwa ajili ya sherehe za miaka 51 ya Uhuru wa Tanzania.
 
Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Balozi Charles Sanga akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuwapokea wapanda mlima zaidi ya 30, waliopanda Mlima Kilimanjaro Desemba 6 kwa lengo la kupandisha bendera ya Taifa kwa ajili ya sherehe za miaka 51 ya Uhuru wa Tanzania.
 
Mwenyekiti wa Bodi ya Serengeti Breweries, Jaji Mark Bomani akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuwapokea wapanda mlima zaidi ya 30, waliopanda Mlima Kilimanjaro, Desemba 6 kwa lengo la kupandisha bendera ya Taifa kwa ajili ya sherehe za miaka 51 ya Uhuru wa Tanzania.
 
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuwapokea wapanda mlima zaidi ya 30, waliopanda Mlima Kilimanjaro, Desemba 6 kwa lengo la kupandisha bendera ya Taifa kwa ajili ya sherehe za miaka 51 ya Uhuru wa Tanzania.
Mkurugenzi wa Serengeti Breweries, Steven Gannon akipokea cheti kutoka kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamisi Kagasheki baada ya kufanikiwa kufika Uhuru Peak.
Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Private Amani Kasanga akipokea cheti kutoka kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamisi Kagasheki baada ya kufanikiwa kufika Uhuru Peak.
Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Luteni Kijakazi Marijebu akipokea cheti kutoka kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamisi Kagasheki baada ya kufanikiwa kufika Uhuru Peak.
 
Baaadhi ya washiriki wa kupanda Mlima Kilimanjaro, walioongozwa na Jenerali mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jenerali George Waitara wakiwa katika hafla ya mapokezi hayo.
 
Mbunge wa Jimbo la Koani Zanzibar Amina, akiwa na washiriki wengine waliopanda Mlima Kilimanjaro. (Picha zote na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi)

No comments:

Post a Comment