TANGAZO


Wednesday, October 31, 2012

Rais Kikwete azindua ujenzi wa mradi wa barabara kwa Sadala-Msama Hai


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokewa na Mkuu wa Wilaya ya Hai, Novactus Makunga katika eneo la sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Kwa Sadala-Masama wilayani Hai leo.
 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Hai na Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe katika eneo la sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Kwa Sadala-Masama wilayani hai leo.
 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongezza Mbunge wa Hai na Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kwa hotuba nzuri ya kumkaribisha na kumsifia kwa kazi anayofanya katika maendeleo ya miundombinu nchini katika eneo la sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Kwa Sadala-Masama wilayani hai leo.
 
Rais Jakaya Kikwete, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama (katikati) na Mbunge wa Jimbo la Hai, Freeman Mbowe wakizungumza wakati wa sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa Barabara ya Kwa Sadala-Masama wilayani Hai. (Picha kwa hisani ya Ikulu)
Rais Jakaya Kikwete, akiwahutubia wananchi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Jimbo la Hai, wakati wa sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa Barabara ya Kwa Sadala-Masama wilayani Hai leo.
Rais Jakaya Kikwete, akisaidiwa kuzindua jiwe la msingi na Mbunge wa Hai na Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, katika eneo la sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Kwa Sadala-Masama wilayani Hai.
 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipongezwa na kupewa shukurani na Mbunge wa Hai na Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe katika eneo la sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Kwa Sadala-Masama wilayani Hai leo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Miundombinu, John Pombe Magufuli, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama na Mbunge wa Hai, ambaye ni Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe wakikata utepe mojawapo ya magreda katika eneo la sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Kwa Sadala-Masama wilayani hai leo.
 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Miundombinu, John Pombe Magufuli, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama na Mbunge wa Hai na Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa CHADEMA, wakiwa katika picha ya pamoja, Freeman Mbowe katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Kilimanjaro baada ya uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Kwa Sadala-Masama, wilayani hai leo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipongezwa na wananchi katika eneo la sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Kwa Sadala-Masama wilayani hai leo.

No comments:

Post a Comment